Monday, July 16, 2012

MAKOSA: NIPO TAYARI KUFA KWA KUJINYONGA

Aliyekuwa mfanyabiashara mkubwa mjini Iringa Bw Makosa anadai yupo tayari kufa dunia imemshinda

Mfanyabiashara maarufu ambaye kwa sasa amefulia vibaya Bw Makosa (kushoto) akizungumza na mtandao huu kuhusu hatua yake ya kukusudia kuandaa tamasha kubwa katika uwanja wa Samora ambako watu wataingia kwa kiingilio ili kujinyonga na fedha hizo zisaidie kulea familia yake.CHANZO:http://francisgodwin.blogspot.com/ 


No comments:

Post a Comment