Tuesday, September 25, 2012
Masaibu ya watoto wa Syria
Friday, September 21, 2012
Julius Malema matatani kwa utata wake
Arusha Wakati Wa Rufaa Ya Lema Jana
Gari ya polisi ikiwa inapisha maandamano yapite
RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ambao ulikua inatarajiwa kusikilizwa leo na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa chini ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande na wenzake, Natalia Kimaro na Salum Massati umesikilizwa ila kesi imeahirishwa.
Kesi hiyo ambayo ilikuwa inatolewa maamuzi jana imeairishwa na jaji mkuu wa Tanzania kwa kile kilichodaiwa kuwa wakili wa upande wa mkata rufaa na wakili wa serekali kupata matatizo ya kufiwa na baba yao mzazi
Jaji mkuu alifikia hatua ya kuamua kesi hiyo ihairishwe hadi pale ifikapo October 2 mwaka huu ambapo ndipo imesemekana huku ya kesi hiyo ndio itakapo tolewa.
Mara baada ya kesi hiyo kuhairishwa umati mkubwa uliokuwepo mahakamani hapo uliondoka hadi katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo Chadema ambapo aliyekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema aliongea na wananchi walikuwa wakimsindikiza nae aliwasihi wananchi hao kuwaombea majaji wa kesi hiyo ili waweze kutoa hukumu ya haki.
“mimi sio kwamba nataka nishinde na wala siogopi kushidwa ila naomba tuwaombe hawa majaji wa kesi hii ili waweze kutoa maamuzi ya haki yasiyomgandamiza mtu yeyote,na napenda pia kuchukuwa nafasi hi kuwaeleza kuwa jumanne tunatarajia kufanya mkutano katika kiwanja cha ngarenaro ambapo hapo ndipo tutakapo fungua kampeni zetu za udiwani rasmi”alisema lema
Alibainisha kuwa mbali na kuzindua kampeni pia wanampango wa kuzindua mikutano ambayo itajulikana kufa au kupona ,mkutano ambao utafanywa nyumba kwa nyumba pamoja na kitongoji kwa kitongoji
Kutoka JamiiForums
RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ambao ulikua inatarajiwa kusikilizwa leo na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa chini ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande na wenzake, Natalia Kimaro na Salum Massati umesikilizwa ila kesi imeahirishwa.
Kesi hiyo ambayo ilikuwa inatolewa maamuzi jana imeairishwa na jaji mkuu wa Tanzania kwa kile kilichodaiwa kuwa wakili wa upande wa mkata rufaa na wakili wa serekali kupata matatizo ya kufiwa na baba yao mzazi
Jaji mkuu alifikia hatua ya kuamua kesi hiyo ihairishwe hadi pale ifikapo October 2 mwaka huu ambapo ndipo imesemekana huku ya kesi hiyo ndio itakapo tolewa.
Mara baada ya kesi hiyo kuhairishwa umati mkubwa uliokuwepo mahakamani hapo uliondoka hadi katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo Chadema ambapo aliyekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema aliongea na wananchi walikuwa wakimsindikiza nae aliwasihi wananchi hao kuwaombea majaji wa kesi hiyo ili waweze kutoa hukumu ya haki.
“mimi sio kwamba nataka nishinde na wala siogopi kushidwa ila naomba tuwaombe hawa majaji wa kesi hii ili waweze kutoa maamuzi ya haki yasiyomgandamiza mtu yeyote,na napenda pia kuchukuwa nafasi hi kuwaeleza kuwa jumanne tunatarajia kufanya mkutano katika kiwanja cha ngarenaro ambapo hapo ndipo tutakapo fungua kampeni zetu za udiwani rasmi”alisema lema
Alibainisha kuwa mbali na kuzindua kampeni pia wanampango wa kuzindua mikutano ambayo itajulikana kufa au kupona ,mkutano ambao utafanywa nyumba kwa nyumba pamoja na kitongoji kwa kitongoji
Kutoka JamiiForums
Friday, September 7, 2012
HUYU NDIO MWANAJESHI MMAREKANI ALIEANDIKA KITABU KUHUSU MAUAJI YA OSAMA.
Wizara ya usalama ya Marekani (Pentagon) imetishia kumpeleka mahakamani mwanajeshi alieandika kitabu kuhusu jinsi yeye na wenzake walivyomuua gaidi Osama Bin Laden aliekua kiongozi wa Al Qaeda.
Mwanajeshi huyo aliekua kwenye kundi la wanajeshi wenye ujuzi wa hali ya juu alikua mtu wa pili kuingia chumbani alipokuepo Osama ambapo kwenye kitabu alichoandika anaeleza kwamba Osama hakua na silaha yoyote walivoingia chumbani kwake, taarifa ambayo inatofautiana na iliyotolewa na Pentagon.
Kanuni zinazoongoza oparesheni kama iliyomuua Osama zinawanyima wanajeshi waliohusika kutoa siri au kutangaza chochote ndio maana anaonekana kavunja makubaliano.
Sasa hivi vyombo vya habari vimeanza kuhusisha hicho kitabu na kampeni za urais jambo ambalo mwanajeshi huyo amelikataa na kusisitiza kwamba amekiandika hicho kitabu ili kuweka hadharani ukweli bila kulenga chama chochote cha siasa wala mgombea.
Matt Bissonnette(36) ambae hafurahii uongozi wa rais Obama, alikua hataki kutambuliwa kwenye vyombo vya habari lakini tayari jina lake limeshajulikana na limesambaa hivyo ilimlazimu kujificha.
Mwanajeshi huyo aliekua kwenye kundi la wanajeshi wenye ujuzi wa hali ya juu alikua mtu wa pili kuingia chumbani alipokuepo Osama ambapo kwenye kitabu alichoandika anaeleza kwamba Osama hakua na silaha yoyote walivoingia chumbani kwake, taarifa ambayo inatofautiana na iliyotolewa na Pentagon.
Kanuni zinazoongoza oparesheni kama iliyomuua Osama zinawanyima wanajeshi waliohusika kutoa siri au kutangaza chochote ndio maana anaonekana kavunja makubaliano.
Sasa hivi vyombo vya habari vimeanza kuhusisha hicho kitabu na kampeni za urais jambo ambalo mwanajeshi huyo amelikataa na kusisitiza kwamba amekiandika hicho kitabu ili kuweka hadharani ukweli bila kulenga chama chochote cha siasa wala mgombea.
Matt Bissonnette(36) ambae hafurahii uongozi wa rais Obama, alikua hataki kutambuliwa kwenye vyombo vya habari lakini tayari jina lake limeshajulikana na limesambaa hivyo ilimlazimu kujificha.
MWENYEKITI WA MBEYA PRESS KLABU CHRISTOPHER NYANYEMBE AUA UJUMBE WA BODI UTPC
mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa
Mbeya Christopher Nyanyembe akiomba kura katika nafasi ya ujumbe wa bodi ambayo
amepita kwa kura 33 kati ya 64 zilizopigwa
Bw.Deus Buganywa akiomba kura kuwa mjumbe wa bodi leo na kushinda kwa kura 26 kati ya 64 zilizopigwa hivyo kuwa mjumbe katika nafasi hiyo iliyoombwa na wajumbe 7 akiwemo Masau Bwile aliyepata kura (13),Emanuel Bwibo (15),Beny Mwaipaja (15) Andrew Kuchochoma (11)na Hashim Hasan (15)
Bw.Deus Buganywa akiomba kura kuwa mjumbe wa bodi leo na kushinda kwa kura 26 kati ya 64 zilizopigwa hivyo kuwa mjumbe katika nafasi hiyo iliyoombwa na wajumbe 7 akiwemo Masau Bwile aliyepata kura (13),Emanuel Bwibo (15),Beny Mwaipaja (15) Andrew Kuchochoma (11)na Hashim Hasan (15)
KENETH SIMBAYA AULA TENA UTPC JANE MIHANJI AWA MAKAMU WAKE
Rais mstaafu wa Kwanza UTPC Ulimboka Mwakariri
akifuatilia uchaguzi wa kidemokrasia wa UTPC
Mweka hazina wa IPC Vicky Macha (kulia) akipokea salamu za rambi rambi ndani ya ukumbi wa mkutano juu ya kifo cha mwenyekiti wake Daudi Mwangosi
Mpembea pekee wa Ally Haji Hamad ambaye ni katibu mtendaji wa Pembea Press Klabu ambaye amepita bila kupingwa leo kuwa mjumbe wa bodi mwakilishi wa Zanzibar
katibu wa IPC Frank Leonard kushoto akishuhudia Rais wa UTPC Keneth Simbaya akipongezwa
mwandishi wa mtandao huu ambaye pia ni mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi Abdulaziz Video akifuatilia uchaguzi huo leo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya (kushoto) akipongezwa na mkurugenzi wa UTPC Bw Abbakari Kasiani
Makamu wa Rais Jane Mihanji akijieleza kabla ya kuchaguliwa kwa kura za kishindo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya akitoa neno la shukrani kabla ya kuchaguliwa tena
Rais wa UTPC Bw Simbaya akipongezwa na mjumbe wa bodi iliyopita Juma Nyumayo(kulia)
Rais wa UTPC Bw Simbaya akivunja bodi leo
Mwenyekiti mstaafu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) ambaye alimwachia kiti marehemu Daudi Mwangosi amepitishwa tena kwa kishindo katika nafasi hiyo baada ya kupata kura 60 kati ya Jane Mihanji amepata kura za hapana 2 na kura za ndio 60 kati ya kura 62 zilizopig wa katika uchaguzi huo.
Waandishi wa mtandao huu kutoka Dar es Salaam Esther Macha na Abdulaziz Video wanaripoti kuwaKatika uchaguzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam leo Simbaya amepata kuwashukuru wajumbe kwa ushirikiano mkubwa ambao amepata kuuonyesha katika kipindi kilichopita na hivyo kuwaomba ushirikiano huo uzidi katika kipindi kichacho.
Simbaya amewataka wajumbe hao mkutano huo kuendelea kushikamana zaidi na kuwa katika uongozi wake uliopita amepata kuwa kiunganishi kizuri kati ya UTPC na wahisani kwa asilimia 150 na kuahidi kuendelea kufanya hivyo katika kipindi kijacho.
Alisema kuwa ili kuweza kusonga mbele zaidi bado UTPC inahitaji viongozi wenye mahusiano mema na wahisani ili kuiwezesha UTPC kufanya vema zaidi.
Mweka hazina wa IPC Vicky Macha (kulia) akipokea salamu za rambi rambi ndani ya ukumbi wa mkutano juu ya kifo cha mwenyekiti wake Daudi Mwangosi
Mpembea pekee wa Ally Haji Hamad ambaye ni katibu mtendaji wa Pembea Press Klabu ambaye amepita bila kupingwa leo kuwa mjumbe wa bodi mwakilishi wa Zanzibar
katibu wa IPC Frank Leonard kushoto akishuhudia Rais wa UTPC Keneth Simbaya akipongezwa
mwandishi wa mtandao huu ambaye pia ni mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Lindi Abdulaziz Video akifuatilia uchaguzi huo leo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya (kushoto) akipongezwa na mkurugenzi wa UTPC Bw Abbakari Kasiani
Makamu wa Rais Jane Mihanji akijieleza kabla ya kuchaguliwa kwa kura za kishindo
Rais wa UTPC Keneth Simbaya akitoa neno la shukrani kabla ya kuchaguliwa tena
Rais wa UTPC Bw Simbaya akipongezwa na mjumbe wa bodi iliyopita Juma Nyumayo(kulia)
Rais wa UTPC Bw Simbaya akivunja bodi leo
Mwenyekiti mstaafu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) ambaye alimwachia kiti marehemu Daudi Mwangosi amepitishwa tena kwa kishindo katika nafasi hiyo baada ya kupata kura 60 kati ya Jane Mihanji amepata kura za hapana 2 na kura za ndio 60 kati ya kura 62 zilizopig wa katika uchaguzi huo.
Waandishi wa mtandao huu kutoka Dar es Salaam Esther Macha na Abdulaziz Video wanaripoti kuwaKatika uchaguzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaam leo Simbaya amepata kuwashukuru wajumbe kwa ushirikiano mkubwa ambao amepata kuuonyesha katika kipindi kilichopita na hivyo kuwaomba ushirikiano huo uzidi katika kipindi kichacho.
Simbaya amewataka wajumbe hao mkutano huo kuendelea kushikamana zaidi na kuwa katika uongozi wake uliopita amepata kuwa kiunganishi kizuri kati ya UTPC na wahisani kwa asilimia 150 na kuahidi kuendelea kufanya hivyo katika kipindi kijacho.
Alisema kuwa ili kuweza kusonga mbele zaidi bado UTPC inahitaji viongozi wenye mahusiano mema na wahisani ili kuiwezesha UTPC kufanya vema zaidi.
Miili Ya Askari Wa JWTZ Waliokufa Nchini Sudani Yaagwa Leo
Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili waaskari wa 3 wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji wakivuka mto Lamada, Sudani walikokwenda kulinda amani chini ya jeshi la umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuiaga mili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam
Askari wa JWT wakingiza miili ya marehemu katika Gari tayari kwa safari ya kuelekea mikoani kwa ajili ya Mazish
Mkuuwa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akifariji mke wa moja wa askari walifariki Bi, Fatuma Chunguile
Mkuuwa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu
Ombi la Rais Obama kwa wamarekani
Mashambulizi ya kulipiza kisasi Kenya
Wednesday, September 5, 2012
WAANDISHI WA HABARI WAMLIA NGUMU MANUMBA
Wanahabari Iringa wakiwa katika ukumbi wa ofisi ya RPC leo
Mmiliki wa mtandao huu Francis Godwin akiwa na mkewe wakitoka katika ofisi ya RPC baada ya Manumba kushindwa kufuata msimamo uliotolewa na wanahabari wa Iringa.
Mmiliki wa mtandao huu Francis Godwin akiwa na mkewe wakitoka katika ofisi ya RPC baada ya Manumba kushindwa kufuata msimamo uliotolewa na wanahabari wa Iringa.
WAANDISHI wa Habari wa mkoani Iringa wamekataa kupokea kupokea taarifa ya awali ya uchunguzi ya mauaji ya mwanahabari Daudi Mwangosi iliyofanywa na jeshi hilo iliyokuwa itolewe jana na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba.
Hatua hiyo imekuja baada ya Manumba kukataa kuwaondoa katika mkutano wake na waandishi wa habari maafisa wa jeshi la Polisi wanaofanya kazi mkoani hapa huku kukiwepo na tamko la waandishi hao kusitisha kufanya nao kazi ya kihabari mpaka tume huru zilizoundwa zitakapotangaza matokeo ya uchunguzi wao.
Pamoja na wanahabari kukataa kupokea taarifa hiyo, Manumba alikanusha taarifa zingine zinazodai kuwepo kwa waandishi wa habari wawili wanaodaiwa kuwepo katika mpango wa kuuawa na baada ya mmoja wa wanahabari hao Francis Godwin kujisalimisha na kumuhoji sababu za kutakiwa ajisalimishe polisi.
Katika kikao hicho kilichoitishwa majira ya saa sita mchana katika ukumbi wa mikutano uliopo katika ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, wanahabari walionesha msimamo wao kwa kumtaka Manumba awatoe maafisa wa jeshi hilo wa mkoani hapa.
“Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Iringa walikwishatangaza katika tamko lao kwamba wamesitisha ushirikiano wa kihabari na jeshi hilo la Polisi mkoani hapa mpaka pale tume huru zilizoundwa kuchunguza kifo cha mwanahabari huyo zitakapotoa majibu yao,” alisema Frank Leonard ambaye ni Katibu Mtendaji wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa.
Leonard alimwambia Manumba kwamba waandishi wa habari hawana tatizo lolote na yeye na kwamba wapo tayari kupokea taarifa yake hiyo ya uchunguzi ila kwa sharti kwamba ni lazima maafisa polisi wote wanaofanya kazi mkoani hapa na ambao walikuwepo katika chumba hicho cha mikutano watoke.
“Huu ni msimamo wetu, hatupo tayari kufanya kazi na maafisa wa jeshi lako na tunamuomba IGP Said Mwema ampumzishe kazi kwa muda Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa bwana Michael Kamuhnada mpaka pale tume huru zilizoundwa zitakapotoa taarifa za matokeo ya uchunguzi wao,” Leonard alisema alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya tamko la wanahabari hao.
Akiwasihi wanahabari kushirikiana na jeshi la Polisi, Manumba alisema mara baada ya mauaji hayo kutokea jeshi la Polisi makao makuu liliunda tume ya uchunguzi akiwemo yeye mwenyewe ambayo kwa kiasi kikubwa imeifanya kazi hiyo.
“Leo nilikuwa nataka niwape taarifa ya uchunguzi ya mauaji hayo, lakini kwa sharti mnalonipa sidhani kama hilo litawezekana,” alisema.
Alisema kila mtu ameguswa na mauji ya Mwandishi huyo na kwamba kosa lililofanywa na wahusika haliwezi kuwa kosa la kila mtu.
Bila kufafanua Manumba alisema matukio ya aina hiyo yapo katika jamii yetu, na yanaweza kuendelea kutokea ikiwa ni pamoja na kwake au maafisa wa jeshi hilo.
“Jambo hili baya limetokea na sisi Polisi tuna regret na hata serikali ina regret, ndio maana tume iliundwa na mara moja tukakimbia kuja hapa ili kupata ukweli baada ya kupeleleza na tukaona ni vizuri uchunguzi tuliofanya tuutoe kwenu” alisema.
“Hata hivyo kwa kuwa huu ni msimamo wa waandishi na wote mmeuunga mkono mbele yangu, nadhani uchunguzi uliofanywa na jeshi letu itabidi upitiwe na tume nyingine badala ya kuutoa kwenu,” alisema.
Hata alipoombwa akatoe taarifa ya uchunguzi huo ambayo hata hivyo baadhi ya wanahabari walisema inaweza kuwa na lengo la kuvuruga ushahidi unaokusudiwa kukusanywa na tume zingine ikiwemo ile iliyoundwa juzi na Waziri wa Mambo ya Ndani, Emanuel Nchimbi, DCI alisema tume iliyoundwa na waziri inatakiwa iachwe ifanye kazi yake kwahiyo itapata fursa pia ya kupitia uchunguzi wao huo.
Katika kipindi hiki kigumu kwa wanahabari na wadau mbalimbali wa tasnia hiyo, Manumba alisema yapo mengi yatakayozungumzwa kuhusu kifo cha Mwangosi zikiwemo taarifa za uzushi, za kupikwa na za ukweli.
Kuhusu kuwepo kwa taarifa ya orodha ya waandishi wahabari wengine wawili wanaotakiwa kushughulikiwa na jeshi hilo, Manumba alisema hazina ukweli kwani mbali na kufanya kazi na wadau wengine, jeshi hilo linawategemea sana wanahabari katika kazi zake.
“Kwahiyo ndugu zanguni mkutano umefungwa na sasa tuiache tume ifanye kazi yake,” alisema.
Michelle Obama amuombea mumewe kura
Subscribe to:
Posts (Atom)