Sunday, July 8, 2012

“Wanafunzi wanasoma kwa kugeuziana migongo Ruvuma”

Wanafunzi wa darasa la tatu na la nne katika shule ya msingi Kidugalo kata ya Rwinga Namtumbo mjini mkoani Ruvuma wakisoma katika chumba kimoja kwa kugeuziana migongo

No comments:

Post a Comment