Monday, November 5, 2012

MABINGWA WA BALIMI BOAT RACE MWANZA WAPATIKANA

Wapiga makasia 15 wakinyosha makasia yao juu kabla ya kuanza kwa fainali za mashindano ya mitumbwi ya Balimi (Balimi Boat Race) yaliyofanyika jijini Mwanza jana.



Mabingwa wa ngoma za asili wa mashindano ya ngoma ya kanda ya ziwa kikundi cha Bujora wakitumbuiza mashabiki wa mashindano ya mitumbwi yaliyofanyika jana kwenye fukwe za Mwaloni Mkoani Mwanza jana ambapo washindi watakao wakilisha mkoa huo kwenye fainali wamepatikana.



Msanii wa kikundi cha ngoma cha Bujora akichezea nyoka kwa kuingiza kichwa mdomoni wakati wakitumbuiza watu waliofika kushuhudia mashindano ya mitumbwi ya Balimi (Balimi Boat Race) yaliyofanyika Mwaloni Mkoani Mwanza jana

No comments:

Post a Comment