moja kati ya
product ambayo haikutegemewa kabisa ni hii ya Genereta inayotumia haja ndogo
(Mkojo) katika Maker Faire Africa mwaka huu huko Lagos Nigeria iliyotengenezwa
na watoto wakike wanne ambao ni Duro-Aina Adebola (14), Akindele Abiola (14),
Faleke Oluwatoyin (14) na Bello Eniola (15).
Lita moja ya mkojo
inakupa masaa 6 ya umeme
- mkojo unawekwa kwenye electrolytic cell ambayo inatenganisha Hydrogen
- Hydrogen inakwenda kwenye filter ya maji kwa ajili ya kusafishwa ambapo baada ya hapo inasukumwa kwenda kwenye gas cylinder.
- Gas cylinder inaisukuma Hydrogen kwenye cylinder ya liquid borax ambayo inatumika kuondoa moisture kwenye gas ya hydrogen
- hii gas ya Hydrogen iliyosafishika inasukumwa na kuelekea kwenye generetor



No comments:
Post a Comment