Akina mama ambao majina yao hayakufahamika mara moja walikutwa na mmiliki wa Blog hii jana jioni maeneo ya Mshindo Manispaa ya Iringa wakiendelea na mazungumzo yao kwa mbwembwe bila huku wakiwa wamekalia moja ya kaburi kati ya makaburi mengi yaliyopo maeneo hayo.
|
No comments:
Post a Comment