Friday, August 3, 2012

Viwanjani Leo Ijumaa

Naomba Kutoa Hoja ,Kuna umuhimu gani kushiriki mashindano ya kimataifa ikiwa tuna maandalizi duni?. tubadilike tujipe muda wa maandalizi tuanzishe shule za michezo za kutosha tuandae wachezaji si washiriki wa michezo(Watalii) ,Serikari sasa ni wakati wa kuwekeza kwa nguvu katika sekta ya michezo na si maandalizi ya zima moto, Wanamichezo tunasema tumechoshwa na visingizio visivyokuwa na Mashiko "Pamoja tuboreshe michezo yetu" Capt Mkami Jr

No comments:

Post a Comment