Tuesday, August 28, 2012

MDAU NA NYAMA ZA RUAHA MBUYUNI- ZIMENONA!!


Ni eneo la Ruahambuyuni, ndizi choma na nyama zake kwa bei poa, hiyo ni kutokana na eneo hilo kufugwa sana wanyama wadogo wadogo kama Mbuzi.


"Chagua ile pale ndiyo nzuri", ni mdau naye akitoa ushauri wa kupata nyama na ndizi nzuri.

No comments:

Post a Comment